SERIKALI YAKABIDHI UBANI WA SHILINGI MILIONI KUMI KWA MAMA WA MAREHEMU KANUMBA
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Amos Makalla akikabidhi kiasi
cha shilingi milioni kumi kwa mama wa marehemu Steven Kanumba ikiwa ni rambirambi ya Serikali kwa
familia. (Picha na Benjamn Sawe wa WHVUM)
No comments:
Post a Comment