Pages

KAPIPI TV

Tuesday, May 22, 2012

RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA FEDHA,UCHUMI NA MIPANGO YA MAENDELEO.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi, Ofisi
ya Rais  (Fedha,Uchumi na Mipango ya maendeleo),katika utekelezaji wa
mpango wa kazi za Ofisi hiyo huko Ikulu Mjini Zanzibar leo.       [
Picha  na Ramadhan Othman,IKULU.]

No comments: