Pages

KAPIPI TV

Saturday, May 17, 2014

"VIONGOZI ACHENI MARUMBANO MJADILI NA KUTAFUTA MAENDELEO YA JAMII"-KINANA

4Mh. Samwel Sitta Mbunge wa jimbo la Urambo Mashariki na Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki akisalimiana na Profesa Juma Kapuya Mbunge wa jimbo la Urambo Magharibi leo asubuhi katika kijiji cha Usindi kata ya Ushokora wilayani Kaliua wakati wa pamokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitokea Wilaya ya Urambo. 5Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Prisca Kaholwe Ofisa mtendaji wa kijiji cha Uhuru wilayani Urambo wakati alipokagua ujenzi wa Zahanati ya kijiji hicho. 6Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na viongozi mbalimbali wa a CCM wilayani Kaliua wakielekea kwenye ukaguazi wa ujenzi wa nyumba za watumishi wa  Zahanati ya Kijiji cha Usindi Kata ya Ushokora wilayani Kaliua. 7Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki katika ujenzi wa nyumba za watumishi wa zahanati ya kijiji cha Usindi.

No comments: