![]() |
| Dr.Magufuli wakati akiingia uwanjani |
![]() |
| Mgombea Ubunge wa Jimbo la Tabora mjini Bw.Emmanuel Mwakasaka akimkaribisha Uwanjani mgombea Urais Dr.John Pombe Magufuli. |
![]() |
| Kundi la Orijino Komedi lilikuwepo na kuwapatia raha watanzania katika uwanja wa Aly Hassan Mwinyi |
![]() |
| Msanii Shilole naye alikuwa miongoni mwa wasanii waliofanya burudani zilizokuwa zikimsindikiza mgombea Urais Dr.Magufuli. |
![]() |











No comments:
Post a Comment