![]() |
| Mgombea Ubunge Emmanuel Mwakasaka na mgombea Udiwani Yusuph Kitumbo wakipokelewa kwa Shangwe kubwa na baadhi ya wanachama wa CCM na wakazi wa kata ya Cheyo katika mkutano wa kampeni. |
![]() |
| Mke wa mgombea Udiwani kata ya Cheyo Mama Kitumbo akimuombea kura mumewe kwenye mkutano wa kampeni katika viwanja vya Mwanga Shop Kata ya Cheyo. |
![]() |
| Yusuph Kitumbo akiteta jambo la Maendeleo ya Kata na mmoja wa Bibi ambaye ni mkazi wa Kata ya Cheyo wakati wa uzinduzi wa Kampeni. |
![]() |
| Wanachama wa CCM katika picha ya pamoja na mgombea wa nafasi ya Udiwani kata ya Cheyo |
![]() |
| Baadhi ya wadau wa Maendeleo na wakereketwa wa CCM kata ya Cheyo ambayo walikuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha sherehe za uzinduzi wa kampeni zinaendelea na kufanyika ipasavyo. |









No comments:
Post a Comment