| Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tabora Bw.Hassan Wakasuvi akihutubia katika Kongamano hilo ambapo pamoja na kusikiliza kero zinazowakabili Wanafunzi hao wa vyuo aliwapongeza kwa kukiunga mkono Chama Cha Mapinduzi hususani wakati huu wa kuelekea Uchaguzi mkuu ambapo aliwataka kuwapigia Kampeni wagombea wa nafasi za Udiwani,Ubunge na Urais mahali popote wanapofanikiwa kuzungumza na wananchi huko mitaani. |
No comments:
Post a Comment