Nassor Wazambi | 1:42am Jun 13 |
BEWARE
FB hakuna Muoaji, Matapeli watupu!
"Dada mmoja mrembo wa shani (jina kapuni) ambae ni mwanafunzi wa chuo cha utumishi wa uma (UHAZILI) tawi la tabora, pia ni member mwenzetu humu ndani, amekumbana na matapeli wa mapenzi wa FACEBOOK!
FB hakuna Muoaji, Matapeli watupu!
"Dada mmoja mrembo wa shani (jina kapuni) ambae ni mwanafunzi wa chuo cha utumishi wa uma (UHAZILI) tawi la tabora, pia ni member mwenzetu humu ndani, amekumbana na matapeli wa mapenzi wa FACEBOOK!
Mrembo
huyo alipata rafiki wakiume humu FB na baada ya mawasiliano ya muda
mrefu wakaamua waende hatua ya pili ya mahusiano, wakakubaliana kuwa
wapenzi ingawa hawakuwahi kuonana! baada ya mahusiano ya kimtandao ya
muda mrefu dada yetu akajenga imani kubwa kwa njemba huyo ambaye kama
kwaida alikuwa ana saidia pindi akipigwa mizinga ya hapa na pale(ATM BOXMAN) .
June hii wakakubaliana mrembo aende likizo aliko mpenzi huyo fake huku
njemba hilo likiahidi kutuma nauli, ila akamuambia mpenzi wake amtumie
picha zake akiwa mtupu (uchi)! dada wawatu akiwa hajui hili wala lile
akapiga picha za uchi za kutosha akazi email kwa jamaa! kuzipata tu
jamaa huyo akampigia cm akamwambia amlipe Tsh. laki sita vinginevyo
anazipeleka picha hizo kwenye magazeti ya udaku! mdada akaduwaa, hela
hana akaacha mambo yaende kama yalivyo.
Jamaa alipoona dada hana kitu
akaenda kuziuza picha hizo kwenye moja ya magazeti PENDWA au ya UDAKU kama ilivyozoeleka!
Gazeti
likampigia simu kubalance stori, mdada wa watu akabembeleza amekubaliwa wasitoe hiyo stori ila arudishe
tsh. laki 6 walizotumia kununua picha hizo!
Inasemekana hivi sasa mdada huyo anahaha kusaka noti
azime ishu!"
KAZI KWENU WAREMBO
No comments:
Post a Comment