Pages

KAPIPI TV

Tuesday, June 5, 2012

WAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA BALOZI WA CHINA NA CANADA OFISINI KWAKE DAR

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza  na Balozi wa Canada nchini,  Robert Orr ambaye alikwenda  Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam May 5, 2012 kuaga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mizengo  Pinda akimkabidhi zawadi ya kinyago cha faru, Balozi wa Canada nchini, Robert Orr ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar salaam Juni 5,2012 kuaga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Afisa wa Masuala ya Siasa katika ubalozi wa Canada nchini, Sebastien Lanthier (kulia)  na  balozi wake, Robert Orr  (katikati)  ambaye alikwenda Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam kuaga, Juni 5,2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na Balozi wa China nchini,  Lu Youqing kabla  ya mazungumzo yao, ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Juni 5,2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo  Pinda  akizungumza  na  Balozi wa China nchini, Lu Youqing (katikati) na Mwambata wa masuala ya Biashara ya  Ubalozi huo, Lin Zhi Yong, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Juni 5, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: