KAMANDA WA POLISI WA MKOA WA ARUSHA LIBERATUS SABAS
(NA GLADNESS MUSHI WA FULLSHANGWE-ARUSHA)
Mtu
mmoja ambaye hajajulikanan jina lake amefarikidunia huku baadhi ya
viungo vyake hasa sehemu za uume wake zikiwa zimechomolewa pamoja na mikono yake
Akiongea na waandishi wa habari mapema leo kamanda wa polisi mkoa wa arusha Sabas Liberatus alisema kuwa tukio hilo lilitokea may 26 majira ya saa tni asubuhi katika eneo la Mto Nambala wilyani Arumeru
Kamanda
Sabas alisema kuwa katika siku ya tukio mytu mmoja mwenye jinsia ya
kiume ambaye hajatambulika mpaka sasa anakadiriwa kuwa na miaka25-30
alikutwa akiwa amefariki
Kamanda
huyo aliongeza kuwa mara baada ya wapita njia kumkuta akiwa amefariki
waligundua kuwa pia hana viungo mbalimbali ndani ya mwili wake hali
ambayo ilizua tafrani kubwa
‘hawa watu walipomuangalia kwa undani sana
waliweza kujua na kutambua kuwa baadhi ya viungo vyake havipo na ndipo
walipota taarifa kwa jeshi la polisi na sisi tulipoofika ndani ya eneo
la tukio tuliyakuta hayo hayo”alisema Kamanda Sabas
Pia aliongeza kuwa baada ya polisi kufika katika eneo la tukio walikuwa mwili huo ukiwa na suruali aina ya jeans ambayo ilikuwa imeshushwa hadi chini ya magoti na viungo vyake vikiwa vimenyofolewa
Hataivyo jeshi hilolinaendela na upelelezi juu ya tukio hilona
upelelzi wa kumfahamu chanzo cha umati huo huku mwili wa marehemu ukiwa
umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya Mount
Meru
No comments:
Post a Comment