Pages

KAPIPI TV

Thursday, June 7, 2012

MMOJA AUAWA ARUSHA NA KUNYOFOLEWA UUME NA MIKONO

KAMANDA WA POLISI WA MKOA WA ARUSHA LIBERATUS SABAS 
 
 
(NA GLADNESS MUSHI WA FULLSHANGWE-ARUSHA)
 Mtu mmoja ambaye hajajulikanan jina lake amefarikidunia huku baadhi ya viungo vyake hasa sehemu za uume wake zikiwa zimechomolewa pamoja na mikono yake
Akiongea na waandishi wa habari mapema leo kamanda wa polisi mkoa wa arusha Sabas Liberatus alisema kuwa tukio hilo lilitokea may 26 majira ya saa tni asubuhi katika eneo la Mto Nambala wilyani Arumeru
 
Kamanda Sabas alisema kuwa katika siku ya tukio mytu mmoja mwenye jinsia ya kiume ambaye hajatambulika mpaka sasa anakadiriwa kuwa na miaka25-30 alikutwa akiwa amefariki
 
Kamanda huyo aliongeza kuwa mara baada ya wapita njia kumkuta akiwa amefariki waligundua kuwa pia hana viungo mbalimbali ndani ya mwili wake hali ambayo ilizua tafrani kubwa
 
‘hawa watu walipomuangalia kwa undani sana waliweza kujua na kutambua kuwa baadhi ya viungo vyake havipo na ndipo walipota taarifa kwa jeshi la polisi na sisi tulipoofika ndani ya eneo la tukio tuliyakuta hayo hayo”alisema Kamanda Sabas
 
Pia aliongeza kuwa baada ya polisi kufika katika eneo la tukio walikuwa mwili huo ukiwa na suruali aina ya jeans ambayo ilikuwa imeshushwa hadi chini ya magoti na viungo vyake vikiwa vimenyofolewa
 
Hataivyo jeshi hilolinaendela na upelelezi juu ya tukio hilona upelelzi wa kumfahamu chanzo cha umati huo huku mwili wa marehemu ukiwa umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya Mount Meru

No comments: