Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na
kumkaribisha Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mhe. Robert J. Orr,
aliyefika Ofisini kwa Makamu Asubuhi ya leo Juni 06, 2012 kwa ajili ya
kumuaga rasmi baada ya kumaliza muda wake nchini.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na Balozi wa Canada nchini Tanzania, Mhe. Robert J. Orr,
aliyefika Ofisini kwa Makamu Asubuhi ya leo Juni 06, 2012 kwa ajili ya
kumuaga rasmi baada ya kumaliza muda wake nchini. (Picha na Muhidin
Sufiani-OMR).
No comments:
Post a Comment