Mchezaji wa zamani wa timu ya Taifa,kocha na mchezaji wa timu ya klabu ya Yanga,Sekilojo Johnson Chambua(kutoka kushoto) akiwa na mwandishi wa habari mwandamizi wa Radio Free Africa na Star Tv Shaaban Alley walipokutana katika moja ya Hotel ya kisasa ya KARENA iliyoko mjini Shinyanga.
Wanasalimiana baada ya kukutana katika Hotel ya KARENA.
Wanasalimiana baada ya kukutana katika Hotel ya KARENA.
No comments:
Post a Comment