Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal
akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Nchi pamoja na wawakilishi
kutoka nchi za Afrika waliohudhuria mkutano wa Maendeleo Endelevu
katika Bara la Afrika.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal
akihutubia kwenye mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Maendeleo
Endelevu katika Bara la Afrika jana mjini Gaborone.
Na Muhidin Sufian
No comments:
Post a Comment