Pages

KAPIPI TV

Sunday, June 2, 2013

"MZEE YUSUPH HOI KWA MASHABIKI TABORA,WALIJIANDAA KWA SHOW YAKE KAMA SIKUKUU"

Mmoja kati ya mashabiki wa muziki wa Taarabu mkoani Tabora aliyefahamika kwa jina moja tu la Tausi ambaye ni mkazi wa Tabora mjini akiwa ukumbi wa Frankman Hotel ambapo Jahazi Modern Taarabu chini ya uongozi wake Mfalme Mzee Yusuph.

Wadau wa mtandao huu nao hawakukosa wakiwa na Apolo Ndali kijana maarufu hapa mkoani Tabora.
 Gwiji la muziki wa taarabu nchini ambaye pia ni mkurugenzi wa bendi Jahazi Modern taarabu maarufu Mzee Yusuph akiwa jukwaani katika ukumbi wa Frankman Tabora mjini akiwafurahia mashabiki wake.
Deo mmoja wa mashabiki wa taarabu akiwa na warembo wawili ambao walihudhuria katika show ya Mzee Yusuph iliyoandaliwa na Kitumbo Security Guard.












No comments: