Shughuli ya kuuaga mwili wa askari PC JUMANNE ilifanyika katika ukumbi la Polisi Tabora mjini |
Mchungaji wa kanisa la Adventist akiendesha Misa maalumu kwa ajili ya kuuaga mwili wa PC JUMANNE |
SIMANZI,MAJONZI NA VILIO vilitawala wakati wa kuuaga mwili wa askari PC JUMANNE |
Mwili ukipandishwa kwenye gari kwa ajili ya safari ya kuelekea nyumbani kwao marehemu PC JUMANNE Musoma vijijini |
No comments:
Post a Comment