Katibu
Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, akimkabidhi trekta, Diwani wa Kata ya
Kwadelo, wilaya ya Kondoa mkoa wa Dodoma, Alhaj, Omary Kariati, kwenye
Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Trekta
hiyo ambayo imenunuliwa kutoka Suma J KT, ni kwa ajili ya Chama Cha
Maendeleo ya Kata hiyo ya Kwadelo chini ya Kwadelo Ward Development
Commitee (KWDC)
Picha na Bashir Nkoromo BOFYA HAPA
No comments:
Post a Comment