
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akimtunuku nishani ya miaka 50 ya Muungano daraja la pili Augustino
Stephene Ramadhan katika hafla kutunuku nishani katika viwanja vya Ikulu
Jijini Dar es Salaam sambamba na maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa
Tanzania Bara jana.[Picha na Ikulu.]
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akimtunuku nishani ya miaka 50 ya Muungano daraja la pili Ali Salum
Ahmed katika hafla kutunuku nishani katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar
es Salaam sambamba na maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara
jana.[Picha na Ikulu.]







No comments:
Post a Comment