Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akishauriana jambo na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana kabla ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kuanza leo, mjini Dodoma Nkoromo) |
Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, wakiwa kwenye kikao hicho. mstari wa mbele kutoka kushoto ni, Dk. Salim Ahmed Salim, Shamsi Vuai Nahodha na Katibu Mkuu wa CCM, mstaafu, Wilson Mukama |
Wajumbe wakiwa kwenye kikao hicho. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Mwigulu Nchemba na Spika wa Bunge Anna Makinda. |
Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM, Bernard Membe na Nazir Kalamagi wakijadiliana jambo kabla ya kikao cha NEC kuanza. |
Katibu Mkuu wa UVCCM, Sixtus Mapunda akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Hamis Sadifa, kabla ya kikao kuanza. Kulia ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye. |
Wajumbe wakiwa ukumbini wakati wa mkutano huo |
No comments:
Post a Comment