RAIS KIKWETE AKUTANA NA MABALOZI WA AFRIKA NCHINI CHINA
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mabalozi wa Afrika
wanaoziwakilkisha nchi zao nchini China wakati alipokutana nao jijini
Beijing China leo asubuhi.Rais Kikwete yupo nchini China kwa ziara ya
kiserikali(picha na Freddy Maro)
No comments:
Post a Comment