BREAKING NEWS:KITU KINACHOSADIKIWA KUWA NI BOMU KIMELIPUKA KARIBU NA KITUO CHA POLISI LINDI
|
Picha kutoka Maktaba |
Kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu kimelipuka Mkoani
Lindi karibu na kituo cha Polisi wakati Askari Polisi hao wakifanya
usafi kwa kuchoma taka karibu na kituo hicho cha polisi
eatv.tv
Read more
No comments:
Post a Comment