Pages

KAPIPI TV

Monday, September 1, 2014

RAIS KIKWETE ATEMBELEA WILAYA YA CHAMWINO KATIKA ZIARA YAKE YA MKOA WA DODOMA

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Fatma S. Ally alipowasili wilayani humo kukagua miradi ya maendeleo na kuzungumza na wananchi
 Rais Kikwete akisalimiana na viongozi mbalimbali wilayani humo
  Rais Kikwete akisalimiana na viongozi mbalimbali wilayani humo
 Rais Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Mtera Mhe Livingstone Lusinde “Kibajaji”
 Ujumbe toka kwa wanafunzi wa shule ya msingi ya Msanga
 Kikundi cha utamaduni cha Shule ya Msingi ya Msanga kikitumbuiza
 Rais Kikwete akiangalia ngoma ya Kigogo ikichezwa na wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Msanga
 Rais Kiwkete akiwapongeza wacheza ngoma wa Shule ya Msingi ya Msanga
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt Rehema Nchimbi akishauriana jambo na Mkuu wa wilaya ya Chamwino Mhe Fatma S. Ally
 Mkuu wa wilaya ya Chamwino Mhe Fatma S. Ally akitoa taarifa ya Wilaya
 Watendaji wa Wilaya ya Chamwino wakiwa katika kikao na Rais Kikwete
 Rais Kikwete akitoa ushauri na maagizo kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali
 Watendaji wa Wilaya wakisikiliza kwa makini
 Katibu Tawala wa Wilaya ya Chamwino akifafanua jambo
 Mwalimu Silvanus Hosea wa shule ya Bwigiri ambaye ni mwalimu mwenye ulemavu wa macho akitoa maoni yake
 Mwakilishi wa shirika la kimataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) akifafanua juu ya mradi wa chakula kwa wanafunzi mashuleni
 Rais Kikwete akitoa ushauri wa njia bora za kuendeleza mradi wa chakula kwa wanafunzi mashuleni
 Vijana waliomaliza elimu ya juu na kuamua kujishuhghulisha na mradi wa kilimo wilayani Chamwino wakitambulishwa. Rais Kikwete ameahidi kuwapatia trekta ili kuongeza tija
 Mmoja wa wataalamu wa miradi akitambulishwa 
 Rais Kikwete akisalimiana na Mwalimu Silvanus Hosea wa shule ya Bwigiri
 Rais Kikwete akisalimiana na wahandisi wa mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
 Sehemu ya mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashuari ya wilaya ya Chwamwino
 Wananchi wakifurahia katika sherehe za uwekaji wa jiwwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya wilaya ya Chamwino
Continue reading →

No comments: