Pages

KAPIPI TV

Friday, September 19, 2014

NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AENDELEA NA ZIARA MKOANI PWANI

 
2Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi mara baada ya kukagua jengo la wazazi katika hospitali ya wilaya ya Kisarawe leo wakati alipofanya ziara katika jimbo hilo ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake katika mkoa wa Pwani akikagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo pamoja na kuimarisha uhai wa chama, Katibu Mkuu huyo katika ziara hiyo anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC, Siasa, Itikadi na Uenezi.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-KISARAWE) 3Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na Nape Nnauye kulia, na kada wa CCM Bw. Iddi Janguo mara baada ya kukagua ujenzi wa jengo la wazazi katika hospitali hiyo. 4Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimjulia hali mama mmoja anayeuguliwa na mtoto wake ambaye jina lake halikupatikana mara moja aliyelazwa katika hospitali ya Kisarawe wodi ya watoto wakati alipotembelea wodi hiyo. 5Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa moja ya majengo yanayokarabatiwa katika hospitali ya wilaya ya Kisarawe. 6Moja ya majengo yanayojengwa katika hospitali hiyo.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana aki 8Jengo jipya linalojengwa katika kata ya Palaka9Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua ujenzi wa zahanati hiyo katika kijiji cha Palaka 11Katibu Mkuu wa CCM akishuhudia jinsi vijana wanavyofyatua matofali ya bei nafuu mradi ambao umebuniwa na Shirika la Numba kwa ajili ya kupunguza ukosefu wa ajira kwa vijana. 14Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kufyatua matofali ya ujenzi wa maabara ya sekondari ya Gongoni Kata ya Manerumango 15Wananchi wa kata ya Manerumango wakimshangilia Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana. 16Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimsikiliza Nape Nnauye Katibu wa NEC, Siasa, Itikadi na Uenezi wakati wa mkutano wa hadhara katika kata ya Manerumango, Katikati ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Pwani Mwinshehe Mlao. 17 Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kisarawe Mzee Athman Janguo akisalimia wananchi huku Katibu wa CCM Mkoa wa Pwani Bi Joyce Masunga akiwa pembeni. 19Mkuu wa mkoa wa Pwani Mh. Mwantumu Mahiza akizungumza na wana Kisarawe katika mkutano wa hadhara uliofanyika Manerumango leo 20 Nape Nnauye Katibu wa NEC, Siasa, Itikadi na Uenezi akiwahutubia wananchi katika mkutano huo. 21Umati uliohudhuria katika mkutano huo 22Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi na kuendesha mahakama ya wazi ya wananchi. 23Seleman Said Jafo mbunge wa jimbo la Chalinze akizungumza na wananchi wake katika kata ya 

25
Manerumango  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikaliswa kwenye kigoda kama ishara ya upendo na kukubalika.26Wana CCM wakila kiapo mara baada ya kupokea kadi zao za uanachama wa CCM,

No comments: