Baadhi ya mikoba iliyoporwa na kijana mmoja ambaye ni dereva wa Bodaboda anayeishi kata ya Isevya manispaa ya Tabora aliyefahamika kwa jina moja la BONGE,kijana huyo amekuwa akisumbua sana majira ya kuanzia saa moja usiku kwa kukwapua vitu mbalimbali vya thamani ikiwemo simu za mkononi na mikoba ambapo waathirika wakubwa na matukio ya uporaji yanayofanywa na kijana huyo ni Wanafunzi wa vyuo mbalimbali hapa Tabora mjini. |
No comments:
Post a Comment